Nadhani huyu Livingstone Lusinde anahitaji kupimwa akili yake atakuwa sio mzima.Wanatuharibia kabisa chama chetu hadi tunaonekana wote wa sisiemu tuna vichaa.Anyway yote meme ila kila nafsi itarejea kwa mola ya ccm imefika wakati wake kwenda
Nadhani sasa umefika wakati uliotarajiwa,watu wamepata uwezo wa kupambanua mambo sio enzi zile mtu anaweza kusema chochote tu watu wanfurahi na kumpigia makofi kiwe kibaya au kizuri.Viongozi wetu wanatakiwa kusoma alama za nyakati na kubadilika kama vipi waachie ngazi.Nasema haya kwa mifano , Mh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.