Search results

  1. Super Msouth

    Shida ya Umeme wanaohusika wajiuzuru

    Nipo Newala Mjini wiki ya pili sasa hali ya umeme ni mbaya kupita kiasi. Tangu nimefika na sasa shida imezidi wiki iliyopita umeme ulikua unawaka kati ya masaa 4-6 kwa siku. Wiki hii Jumatatu umeme uliwaka masaa 6 kwa siku, Jumanne masaa 3 kwa siku, Jumatano umeme uliwaka chini ya saa 1 kwa...
Back
Top Bottom