Nipo Newala Mjini wiki ya pili sasa hali ya umeme ni mbaya kupita kiasi.
Tangu nimefika na sasa shida imezidi wiki iliyopita umeme ulikua unawaka kati ya masaa 4-6 kwa siku.
Wiki hii Jumatatu umeme uliwaka masaa 6 kwa siku, Jumanne masaa 3 kwa siku, Jumatano umeme uliwaka chini ya saa 1 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.