hakika tanganyika nasi tunaitaka sana...hawa jamaa tumewavumilia sana.lkn ustaarabu wetu ndio ujinga wetu...watanganyika nasi tuamke tupambane kudai haki yetu ambayo viongozi wa CCM walitunyima kwa muda mrefu..jamaa tumewapa ajira kila wizara ya muungano hata kama hawana sifa...sisi tunasota...
Mpango huu ni wa maana sana...tunataka kutengeneza kizazi chenye mtazamo chanya na si kizazi cha watu waoga wa mabadiliko kwa kisingizio cha amani...katika nchi yenye demokrasia ya kweli ni haki ya kiraia kuchagua viongozi wenye sifa zifuatazo:waaminifu,wasioegemea upande wowote katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.