CCM haitoi haki kwa kila mwanachama kugombea uongozi kwa sifa zake.
Mfano, hivi ni raia gani wa Tanzania anaweza kugombea uongozi na mke au mtoto wa rais ambaye pia ni mwenyekiti wa chama? Lazima mwenyekiti aoneshe njia kwanza kwa kutoa haki kwa wanachama
Mmependeza
1. Mkuu wa wilaya anatakiwa ashtakiwe kwa kutokuwa na choo. Anaposema hana choo, paa linavunja anataka nani amchimbie choo na nani amjengee nyumba? Ashtakiwe tafadhali
2. Dawa yoyote ambayo haitoi tiba sahihi ni feki/bandia. Acheni maneno yenu hapo studio. Kwani neno bandia lina...
Dotto,
hata waandishi mna matatizo ya kuchambua mambo. hivi kama hali ya hewa ilikuwa mbaya ni MV Skagit tuu ilikuwa baharini? MV Kilimanjaro iliyokuwa ya kwanza kusaidia MV Skagit yenyewe ni anti-mawimbi!!! Hakuna hata jahazi au mtumbwi mmoja ulikuwa baharirini siku hiyo
Mh Yahaya,
Nataka nimsaidie Bwana Abdul Kambaya. CUF inapoteza umaarufu Tanzania Bara kila kukicha. Lazima wakubali hili kama wana nia ya kukirudisha chama barabarani. Aache kusingizia udini. CUF imepoteza mwelekeo Bara baada ya kujiunga na CCM. Maalim Seif sio mpinzani tena wa serikali ya CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.