Kwa nini siku hizi msikitin au kanisan watu hawajai na hakuna kiingilio cha ajabu kwenyw madisco na sehem za stareh kuna kiingilio lakin wanajaa hadi hapatoshi
Imetokea bahrain kijana ampiga mama yake mzazi kisa mkewe kakosana na mama yake na kuja kumwambia mumewe mama yako kantukana na kila siku anansimanga ndipo kijana akaingia hasira na kuanza kumpiga mama yake mzazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.