Umetupa mfumo tu wa 4-3-3 lakini hatuoni vipindi vya mpito timu itakuwa kwenye umbo gani.
Umetuonyesha tactical balance ya Mzamiru na Malone, Je mechi nzima Tactical balance ya Simba ni hapo tu.
Umetuonyesha Chama akiingia ndani na kutoa nafasi kwa beki wa pembeni Ina kuingia.
Pia tuonyesha tyle...
Yani Chama haujumu timu katika magoli matatu ya Simba kwenye ligi ya mabingwa amefunga mawili.
Hata goli ambalo Bocco alipiga na wakajifunga yeye ndiye alimpa pasi, Sasa hizo hujuma Zina toka wapi...?
Andika weka ushahidi wa hata Mazingira tuone.
Una una lazimisha kujipa umuhimu mkubwa wa Simba...
Ukiwa hauna uelewa wa mpira wa miguu una toa maoni kila jambo.
Simba imecheza High Pressing kwa maana timu yote ina sogea juu mpaka kwenye msitari ya katikati ya uwanja na kuacha eneo kubwa kati yake na kipa.
Timu inayo cheza hivi mabeki wa pembeni wana tumika zaidi kushambulia sio kukaba.
Nenda...
Mbona una lazimisha hoja yako ndio watu wa amini .?
Yani una tukana watu kubwa ni wajinga na wapumbavu kisa kukataa mawazo yako?
Simba hii msimu uliopita ikiwa na Mzamiru na Kanoute walifungwa goli chache kuliko timu yoyote ligi kuu na pia hata ligi ya mabingwa Afrika waliondolewa kwenye matuta...
Yani Saidoo kaisha msimu umeisha kafungwa sawa na Mayele...!!!
Mechi na Power Dynamo ametoa assist 2 au kuisha una maanisha nini ndugu yangu.
Alafu hizi mechi za mabonanza nia yenu ndogo mno.
Simba wameingia kwenye tamasha lao wakiwa na Siku chache mno kuelekea Mechi za ngao hivyo mwalimu ana...
Una kataa kubwa sio namba kumi ila una sema ni second striker au maana ya second striker ni ipi.
Mchezaji anae cheza nyuma ya ushambuliajia kimsingi ni namba kumi.
Nafasi anayo cheza Saido pale Simba na ndio aneo ambalo Phiri ana yakiwa kucheza.
Ugumukwa kocha upo hapa Saido ndio mchezaji ambaye...
Usionyeshe ujinga wako hadharani kaa nao ndani.
Yani shilingi bilioni 31 za Tanzania ukarabati una ona nyingi wakati ujenzi mwaka 2004 ulikuwa dollar za Marekani milioni 60 sawa na shilingi bilioni 129 za Tanzania wakati huo.
Ambazo kwa sasa ni sawa na shilingi bilioni 248 za Tanzania, hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.