Kaka sikweli Watanzania wavivu , watanzaznia ni jami inojuwa kujitegemea ungelisema watanzania walilazwa kisisa na ujamaa hapo zamani zama mwalimu nyerere , ikabidi wachukuwi jukumu kubwa kubadilisha zizi kwa mizi lakini sasa huoni kwamba kuna mabadiliko makubwa ,na hivo bado wapo kujipapanya...
Maria roza
Umenistajabisha kusema kwamba kafwata hisia yake , unajuwa kwamba hisia inaweza kuchukuwa pahali amvbapo akili yako haiikubali na ujuwe kila, unapo fwata moyo unapotea kwani moyo inatamani mengi kuna mengine yatakutatiza:frusty:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.