Mmhh Ndani ya miaka 3, Ahadi zote za 2005 hajatimiza zen wanafunzi watumie Teleconfernce kujifunza huu kweli ni utani uliovuka mipaka.
It's time now kuwaondoa watawala wote wenye mawazo ya alinacha na ndoto za mchana kama huyu kiranja mkuu wa nchi hii ya wadanganyika walio wengi.
Nakumbuka enzi hizo kila kitu alikuwa anasema serikali yangu itashughulikia sie wanachuo alitahidi hakuna mtoto wa masikini atakayefukuzwa kwa kukosa ada tumemeliza vyou vinatudai 40%zao za 2006
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.