wanasema, kufanikiwa,
"You either live within the system or with the system"
System ikiwa corrupt na wewe uende nayo hivyo.
Lakini - Watanzania wa leo tunata serikali yenye
msimamo, na si kufuata serikali kipofu.
Tunaadhimisha miaka 10 ya uhuru 9 Des., 2011. Sherehe hizi ni hadi Zanzibar?
Jana kuna mwenzangu alisoma kwenye chupa ya bia ya Kili akauliza ' mbona hapajaandikwa ni uhuru wa nchi gani?' mwingine akasema, 'Naona liliwakanganya TBL.
God bless. Wananchi walitishwa sana kuwa vyama vingi vitaleta ghasia nchini, wachague chama na si mtu n.k.
Sasa wanajionea mwenye fujo ni nani.
CCM wanaweza kutumia busara (kama zipo) badala ya kuonyesha kukata tamaa. Tuliwahi kujifunza 'logic' fulani inasema, 'If you fail to attack the POINT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.