NSSF Wanafanya hivi kwa shinikizo la wakuu wa nchi na s lingine lolote. Wakuu wanataka wanekane kama wanalifanyia kazi suala la umeme lakini haileti maana kwa mfuko wa pension kuingia kwenye kuzalisha na kusambaza umeme. Wastaafu wataumia saana kama mambo yasipoenda vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.