sio kwa nn unatumia codr ambayo ulishawah kuitumia,swala ni kwamba kama ulishawah kuomba kaz tra unapewa ref no.ambayo ukiona tangazo lao unakua tu una update to taarifa zao,ninachoshangaa kwamba kwa nn azitoi. option ya kuchagua nafas unayoitaka???
habar zenu wana jm.Samahan nilikua naomba kuuliza centre ya mitihan ya bodi ya procurement moro, inapatikana sehemu gan?mana mi nimetafuta bila mafanikio,naombeni msaada kwa yeyote anayefahamu pls .
cha msingi mm naona serikal iweke kuajiriwa mwisho miaka 15 kukaa kazin, ili wapishe na wengine kutafuta mitaji,may be itaweza pumguza ili tatizo kwa vijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.