Kinanichosha kabisa eti watu wamemmis Mkwere. Kama haitoshi eti watu wanatetea wenye kutukana mitandaoni, funny enough watu mpaka tunachambua lipi tusi lipi si tusi just to make sure someone is wrong somewhere. Well, JPM anasema tumuombee, anasema yeye si rais bali ni mtumishi wewe, ee Mungu...
Very stupid kipimo, lugha si kipimo cha usomi hata siku moja. And by the way kiingereza ni kama lugha yoyote ya kienyeji kama kijaluo. Sasa mjaluo akiongea utasema ni msomi ujaluoni?
Mi nimekulia Pwani & Dar. Wale si kwamba wavivu ila hawa tamani maisha mazuri na wanaridhika na vitu vidogo saaana. Yani wao mkeka barazani, jirani apite umbea bhaaaas hayo ndo maisha.
Weee Erasto mtu wa wafu wapi? Alimkana mwanae wa kuzaa mwenye kufanana nae mpaka matege na hakuwahi kumtunza licha ya DNA kuprove ni wake? Alikua maarufu kwa kutembea na wake za rafiki zake, na alikua ni mgeukaji mkubwa sana katika biashara. Hizi ndo sifa halali za Erasto
Sioni sababu ya sisi kukaa kujadili ushoga ama u lesbian. Kila mtu ana version yake kuhusu hili swala, wengine kisayansi wengine kidunia na wengine kidini. Huwezi mkataza mtu kuwa shoga na vile vile huwezi mlazimisha mtu lua shoga. Hii concern ya mashoga ambao wanaweza kuniendesha tungeipeleka...
Juzi jana na leo, ntabaki kuona wakenya watu ambao wanaona wenzao wajinga na washamba huku realistically kwenye behewa la ushamba wako first class. Wapime tu ambavyo Obama alikuja Tanzania kabla hajaenda Kenya, what they said will tell you who they are.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.