ah jibu hapo ni dogo tu afanye atakavyo lakini kama ni issue ya je hizo nywele zina impact gani?ni kwamba kuna wadau wanazizimika nywele kama hizo ni balaa si mnajua tunatofautiana jamani
ah jibu hapo ni dogo tu afanye atakavyo lakini kama ni issue ya je hizo nyweli zina impact gani?ni kwamba kuna wadau wanazizimika nywele kama hizo ni balaa si mnajua tunatofautiana jamani
Mzee Moi..........Mwanangu JK nawewe hujui kusoma alama za nyakati punguza story majukwaani jaribu kuongea vitu vinavotekelezeka... .......
JK....................Akh..mzee si unajua sisi wakwere hatuishiwi maneno huwa hata sijioni ninavotoka nje ya mada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.