Ukimfunga uganda umfunge kwa Magoli mengi huku ukiomba Lesotho afungwe au atoe Draw na Cape verde. Kwasababu Lesotho akimfunga Cape verde atafikisha point 8 na sisi tukimfunga Uganda tutakuwa na point 8 hivyo mshindi atakuwa mwenye magoli mengi ambapo Lesotho wana hiyo advantage kwa sasa.
Pia...
Manula kama kawaida yake na technique zake za kijinga kupoteza muda. We need to be serious draw wanaona sawa ila kwa sisi watanzania ni kama mkosi hawajui hawa wapuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.