Opinion Poll ni opinion poll. Njia pekee ya kupinga opinion poll ni kufanya another poll. Kulalama humu hakusaidii. Redet wanafanya polls miaka yote na lawama ni hizi hizi. Utasikia watu wanalalamikia sampling wakata maisha yao hawajawahi kufanya polling. Marekani yenye watu 200m plus wana...
Opinion Poll ni opinion poll. Njia pekee ya kupinga opinion poll ni kufanya another poll. Kulalama humu hakusaidii. Redet wanafanya polls miaka yote na lawama ni hizi hizi. Utasikia watu wanalalamikia sampling wakata maisha yao hawajawahi kufanya polling. Marekani yenye watu 200m plus wana...
mimi sikujui na hivyo hatuwezi kuwa close. Labda wewe unanijua. Sina hata interest ya kukujua na ndio maana ya privacy hapa. Wanaotaka kujulikana na kuwajuwa wengine wanaweka majina yaa halisi nk.
Naona Tanzania Daima peke yao ndio walikuwa katika huo mkutano wa mama Zitto!
Watanzania tuwe macho sana na kulishwa kasa! Fuatilieni habari za Tanzania Daima zinazomhusu Zitto toka alipogombea na Mbowe uenyekiti.
Buy Barrick shares in public trust, government advised
By Rosemary Mirondo
1st March 2010
Email
Print
Comments
Barrick
The Tanzania government has been advised to buy, in public trust, shares of the African Barrick Gold scheduled to be sold later this month at...
Maoni ya Zitto yamo humu!
Tanzanias can buy Barrick shares-BoT
BoT governor Professor Benno Ndulu , says in his letter announcing the move that the requirements were meant to ensure that the investment opportunity is not abused.By Peter Nyanje
Tanzanians will be allowed to buy African...
Tanzania Daima ndio wanasema Zitto na Bomani wametofautiana. Lakini kimsingi ukisoma hiyo habari hakuna tofauti hapo. Zitto hajasema hisa za bure basi na Bomani hajasema hisa za kuuzwa hapana. Kamati yao ilipendekeza hisa za bure na za kuorodheshwa katika soko la hisa. Barrick wameanza na za...
Kuna busara katika maneno ya Sitta. ni maneno ya mtu mzima. Kakiri uhasama ulikuwapo na wanaondoa uhasama. Lakini imani ya kupambana na Ufisadi haitoki.
Kama Rais wa Marekani watu wake walipouwawa na Magaidi au watoto wa shule wanavyoenda na Bunduki na kuua wenzake. Anapaswa kuwasiliana na nani kila siku?
Mimi nadhani hakuna ubaya wowote kwa mke wa Katibu wa CHADEMA kuwa Diwani wa CCM na hata kuwa Mbunge wa CCM.
Marehemu Chacha Wangwe alipokasirishwa na CHADEMA walipomwambia anatoa siri za chama chao, akawauliza kati ya yeye na Slaa nani anatoa siri. kwani yeye makamu Mwenyekiti akimpigia simu...
Kesi ya Rwanda, Somalia nk hailingani na Tanzania Kompanero! Ukilinganisha Ivory Coast na Tanzania nitakukubalia. Huko ndiko tunakoelekea kama hatutokuwa makini.
We are more disunited than ever before. We are more suspicious than ever before. Cracks are widening and we tend not to know. That the...
Wewe ndio umeruhusu itoke? Maana naona imetolewa na Enigma.
Hii inaitwa DIVORCE PAPER
Kwa style ya uandishi na hata nukuu hii kitu ni ya kutoka kwa wenyewe kabisa. Sasa kama ni mtu mmoja au kakundi miongoni mwao ni lingine. Hii ikiwekwa vizuri ni Ilani tosha ya uchaguzi.
Sasa wameweza...
Hawawezi kujinyonga. Wote wa CCM na Upinzani wanapinga muswada huu kwa sababu za kijinga kabisa. Eti kuweka wazi vyanzo vya mapato wachangiaji wao watajulikana. Hawataki kuwasema wachangiaji wao ili watumie fedha chafu na kuuza uhuru wa nchi.
Kipengele cha kutaja wachangiaji na viwango ndio...
Forced listing is doing a right thing in a wrong way. You create incentives to list and not forcing an individual to sell his property. The right to own property is protected by constitution.
By the way what listing? It is simply raising money from the bourse. So want these people to raise...
Pasco,
Jambo moja tu muhimu sana. Afrika ni Moja. Unaposema kule North America ni waafrika wa West Africa na sio babu zetu unakosea. Afrika ni moja na hiyo mipaka unayosema ni ya kikoloni.
Waafrika wa Ghana, Liberia, Sierra Leone, Senegal etc waliopelekewa utumwani ni BABU ZETU.
Waafrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.