Naomba mnisaidie wakuu
nina rafiki yangu nime hitimu nae kidato cha IV mwaka 2013 ila kwa bahati mbaya hajapata ufaulu wa kuridhisha.matokeo yake haya apa
kisw~B
eng~C
Civ~D
Bio~D
Geo~D
Chem~E
Hist~E
B/math~F
Phis~F
Naomba ushauri wenu wakuu kama kuna uwezekano wa kuapply chuo cha...
Salaam.
Ndugu wana jf naomba msaada wenu tafadhali, kwa muda usiopungua miaka kama mitano nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya tumbo mara kwa mara. Nimejaribu kwenda hospital kadhaa lakini nimeambiwa hamna tatizo.
Moja ya dalili zisizo za kawaida nazo zipata ni kama vile,kutopata choo vizuri na...
Heshima kwenu wakuu wote humu jamvini.
tatizo langu ni kwamba,nina mdogo wangu yuko kidato cha tatu.na maendeleo yake sio mazuri kiukwel ukilinganisha na alipokuw kidato cha kwanza.siku hizi akifundishwa anasahau mara kwa mara hata kama ni muda huohuo.tafadhal naomba msaada juu ya hili...
JamanI habari za leo.
Ijapokuwa ni mgeni humu jukwaani lakini naombeni msaada katika hili.
katika kipindi cha miaze kama mitatu hivi mwili wangu unakosa nguvu kwa kiasi kikubwa sana hasa miguuni.sijui hili tatizo latokana na nini wataalamu wangu.
Nifanye nini kukabiliana na hili tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.