Search results

  1. karekwachuza

    Waliochapwa na DC Arusha na kulazimishwa kulipa fedha bila kufikishwa mahakamani waombe msaada wa kisheria kumshtaki DC

    Hakika huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu,huyu mkuu wa wilaya kwa kuwa alikuwa anataka sifa kwa magufuli basi hana budi kufunguliwa mashtaka
  2. karekwachuza

    Dar: Yanayojiri Mkutano wa Simon Sirro na Wanahabari

    Simuelewi huyu mtu,uchaguzi kura zimepigwa za bandia yeye hasemi,anakimbila kumsifu tu bwana mkubwa,watu wameuawa,watu wamefungwa kwa makosa ya uongo yeye hasemi,watu wameumizwa wala yeye hasemi
  3. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Kadiri siku zinavyosogea wanachama na wafuasi wa CHADEMA wanatepeta

    Wewe umetumwa endelea kutumika,hakuna kitu kama hicho,CCM ndio mmetepeta
  4. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Zikiwa zimebaki siku 20, wapinzani wanashindana huku akili na mioyo yao ikiamini mshindi ni Magufuli

    Acha ushamba mlishakaririshwa mwaka huu sio ccm tena bali lissu ndio Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,we bweteka na magufuli
  5. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

    Maufuli alifunika kwa kusomba watu na malori pamoja na wanafunzi na walimu ambao kwa siku hiyo alipiga marufuku kwenda shule
  6. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

    Hakika lissu ni mwanaume,upepo wa magufuli umebadilika kabisa
  7. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Mikutano ya kusomba watu na magari pamoja na wanafunzi pia waalimu, wamestisha masomo kwa ajili ya mkutano huo,haiingii akilini kabisa,subiri tarehe 28 october
  8. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Ila kuna watu sijui wanatumia makalio kufikiria,yaani magufuli jinsi anavyojinadi kwa mambo yale yale aliyovurunda eti unasema amzidi kura Lissu?hiyo haitokei kabisa,na ndio Rais wa kwanza kuongoza kwa muhula mmoja,hutaamini na utaamini ikifikia octoba 28
  9. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Hata hivyo kumbuka lissu anakubalika sana kuliko magufuli,magufuli inabidi afannye mikutano mingi ili ajisafishe,lissu ni kidogo tu watu wamemuelewa.
  10. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Wagombea wengine mkienda kuhojiwa na Media msifanye kosa kama la Tundu Lissu, hakwenda na sera na hakuomba kura

    Wewe unaesema kura zipi subiri,una mnadi magufuli kafanya nini? Yaani atadhinda kwa kura nyingi sana, we yako hatuihitaji we mpe Magufuli kwa kuwa unafaidika nae
  11. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Wagombea wengine mkienda kuhojiwa na Media msifanye kosa kama la Tundu Lissu, hakwenda na sera na hakuomba kura

    Kaka lissu hahitaji kujinadi kwenye TV huyo kashinda kwa kishindo maana mpinzani wake ambaye ni Magufuli ni dhaifu sana,
  12. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Lissu muulize mpinzani wako, ‘Jina lako ni nani?’

    Wewe umelewa sasa kama hutaamini magufuli anaondoka madarakani subiri hiyo octoba 28 mwaka huu usije ujajinyonga
  13. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Kwa mapokezi makubwa anayoyapata Lissu, chondechonde nawaomba NEC na Vyombo vyote vya Dola

    Kamanda umenena hiyo haina ubishi,nchi hii imeenda kwa chadema wapende au wasipende
  14. karekwachuza

    Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

    Hakuna kitu hicho chama cha kusifiana ty na ubabe mwingi,wala watu hawakikubali
  15. karekwachuza

    Hii ni awamu ya CHADEMA kufutika kama chama kikuu cha upinzani nchini

    Wewe huna akili,chadema ndio kinachokwenda kuchukua dola mwaka huu wewe unasema nini hicho?
  16. karekwachuza

    Waitara ni Jembe, aamua kuifuta CHADEMA Mkoa wa Mara

    Waitara ni faka,siasa za majitaka hizo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom