Simuelewi huyu mtu,uchaguzi kura zimepigwa za bandia yeye hasemi,anakimbila kumsifu tu bwana mkubwa,watu wameuawa,watu wamefungwa kwa makosa ya uongo yeye hasemi,watu wameumizwa wala yeye hasemi
Mikutano ya kusomba watu na magari pamoja na wanafunzi pia waalimu, wamestisha masomo kwa ajili ya mkutano huo,haiingii akilini kabisa,subiri tarehe 28 october
Ila kuna watu sijui wanatumia makalio kufikiria,yaani magufuli jinsi anavyojinadi kwa mambo yale yale aliyovurunda eti unasema amzidi kura Lissu?hiyo haitokei kabisa,na ndio Rais wa kwanza kuongoza kwa muhula mmoja,hutaamini na utaamini ikifikia octoba 28
Wewe unaesema kura zipi subiri,una mnadi magufuli kafanya nini? Yaani atadhinda kwa kura nyingi sana, we yako hatuihitaji we mpe Magufuli kwa kuwa unafaidika nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.