MsemajiUkweli,
Hata mimi mlinzi wangu sasa hivi ameajiriwa na mtu mwingine na maisha yanaendelea.
Kama Lowassa ametoka CDM na bado moto ni ule ule ndio itakuwa body guard?
Jibu swali mbona jamaa yako haheshimu sheria za nchi?
Stay tuned, this time you will face the music maana hata Saddam alijua yeye ni mungu mtu lakini sasa hivi anapatikana kuzimu akiwa hoi.
Mbona kiongozi wako anavunja kila siku na hapati kibano.
This is a banana republic, it does not respect its own laws. Na safari hii wanakula sahani moja na nyie, na wameshaanza, stay tuned.
Kikubwa zaidi bila kuongelea kashfa na maneno yake ni kuwa anaenda bungeni kubariki sera mbovu na za ukandamizaji za CCM, wenye akili wa Kawe hawawezi kuruhusu hilo litokee.
Point zote zipo ok lakini ya mwisho haupo sawa. Bado umefungwa na status quo kwamba CCM lazima washinde urais, mie sidhani hivyo.
Battle hii ni kati ya dunia inayopenda haki na CCM na sio CHADEMA na CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.