kila mzalendo na wrote wenye mapenzi mema wameamka na wanapigana kumnusuru mama yetu kipenzi,Tanzania, asiangukie mikononi mwa mwizi, mcumia tumbo na fisadi papa lowasa. lowasa atasubili sana. atamtoa wapi baba was taiga amnenee radhi..haiwezekani. bado siku 24 lowasa atambuwe kuwa maneno ya...
Ccm haiwezi kupona tena!
Ccm iko taabani na itakata roho october 25.
Ccm imewakosea watanzania wote: Wanahabari, wakulima, wafugaji, wafanyakazi, wastaafu, wafanyabiashara, wanafunzi, waalimu, machinga,na mamantilie wamesalitiwa, wamedhulumiwa haki zao za msingi na kupuuzwa na serikali ya...
lakini ww shemeji cku ile ulisema kuwa unapenda na utafanyaje ili uzalishwe na m2 yeyote wa ukoo wa teacha ili upeleke mbegu ya ma grit thinka kwenu? Mshukuru sana ndg yetu kwa kupga kimya kama kweli azma yako ile ilitimia kwan wenzako huwa hawabahatiki.
Nitawashawishi wenye ndoa wote ( wanaume wanaowapenda wake zao na wanawake wanaowapenda waume zao) wamkatae benard membe kwa kura kuanzia nec, ccm na nje ya nec, na ccm.
Membe hutufai na aliyekutuma hatufai watanzania.
Mimi nasema huku sio kujiuzulu bali ni sawa na kufukuzwa kazi. Asipokee pensheni kwa kujiuxulu kani amechelewa sana kufanya hivyo. Je wewe unasemaje ktk hili,?
Ndugu wanajf,
kinachopelekea tuwe na watawala wabovu wasiozingati misingi ya kidemokrasia (uwajibikaji, utawala wa sheria, n.k.) pamoja na misingi ya haki za binadamu(haki ya kuishi, haki ya kupokea/kutoa maoni/taarifa, n.k.) ni ujinga na woga wa watanzania.
Ndiyo. Cku...
mkuu nimekupata vizuri sana ila nina mashaka makubwa kuwa vijana wa lumumba na wazee wa dar es salamu hawajakuelewa kwani mishipa ya tafakuri yao imeathiriwa na ugonjwa wa kufisha wa tezi dume.
hata wao hawajatimiza wajibu wao ipasavyo. Ni mpaka pale watakapoacha kutumika. Wawe huru. Wasiwe watumwa wa ccm /serikali inayoiba, inayouwa, na kufanya kila aina ya dhuluma na ukatili kwa raia.
Ndugu wana JF, salaam na kheri ya mwaka mpya 2015.
Napenda kutoa mwito wangu kwa viongozi na waumini wa dini /madhehebu na watanzania kwaujumla kuacha kutetea dhuluma zinazofanywa na serikali ya ccm dhidi ya raia . Naomba viongozi wa dini/madhehebu kuacha kuombea amani inayotoa fursa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.