Angekua mwanao ungefanyaje? Au hata mtoto wa dada/kaka yako? Ukiwa mzazi unayewajibika lazima utaumia sana. Na hii ndio tabia ya viongozi walio wengi ni bahati mbaya Kapuya amekamatwa lakini tukimchunguza mmojammoja tutapata wengi. Kaharibu maisha ya huyu mtoto ambaye ni yatima kishamuambukiza...
Mama Makinda,Sophia Simba, kumbukeni muosha huoshwa huyo mtoto sio wa kwenu ila madaraka mliyonayo mlipaswa mseme kitu ila mmenyamaza kimya. Endeleeni hivyohivyo ila Mungu hatonyamaza kamwe
Lol huyu kapuya akiwa bungeni Dodoma ana wasichana kila kona na amezaa nao watoto yaani ni hatari sana kwa maendeleo ya watoto wetu wa kike. Alizaa na dada mmoja huko Dodoma mtoto kamfanana sana Prof Kapuya, halafu anachaguliwa kuwa waziri, siasa ni chafu sana ya hapa kwetu. Na hii ni laana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.