Mheshimiwa Madaha diwani wa kata ya Chifufu CCM na mwenyekiti wa vijana CCM amekamatwa na polisi leo asubuhi hii kwa tuhuma za wizi wa pikipiki za chama umoja Wa vijana wilaya sengerema. Mkuu Wa kituo cha polisi sengerema amethibitisha kukamatwa kwa kiongozi huyo.
Mch. MSIGWA NA RAIS KIKWETE MNALIJUA HILI KATIKA IDARA YA MISITU
Selikali ya ccm imekuja na kitu kizuri kwa manufaa ya wtz wote kinaitwa BRN (matokea makubwa sasa)katika idara misitu na nyuki kupitia wakala wa misitu tanzania(TFS) wao wamekuja na hili katika hii idara-(1)wamepandisha bei ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.