Labda Wabunge wamekusikia, tena niongeze kusema kuwa wanawake wanadhalilika sana wanapochimba dawa safarini, utakuta huyu kachuchumaa, mara yule kasimama na kashusha mtindo wa bhong'o na kibaya zaidi baada ya kuchuma hiyo dawa no soap no water!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.