Mimi nikijana nilie maliza elimu ya kidato cha nne (2012), Na kupata ufaulu wa Div. 4 ya 30 katika michipuo ya sayansi. Alama nilizopata nikama ifuatavyo hapo chini.
Physics - D
Chemistry - D
Biology - D
Kiswahili - D
E/D/islamic - D
Geography - F
English - F
Basic - math - F
Civics - F...
Mimi nkijana mwnye umri wa miaka 19. ambeye niliye fanikiwa kuitimu elimu ya sekondari 4m IV mwaka 2012. kwabahati sikufanikiwa kuendelea na 4m V ,lakin MUNGU alisaidia nmepata chet cha DV 4 ya 30 science. Pia nmesoma computer course lkn mpaka sasa npo mtaan sina shuhuli ya kufanya na sina uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.