Haharini wana JF
Yapata siku ya 4 sasa katika jiji la dar hatujaliona jua likichomoza katika maeneo mbalimbali ya jiji na viunga vyake.!! Dar sasa ni kama Njombe,Iringa au Mbeya, kweli masika imeamua kuidhibu dar kisawasawa.
Walioko mabondeni ni muda sahihi wa kuangalia namna ya kuepuka adha...
Habari wana JF,
Je, ni kweli pale unapolazimika kusafiri kwa kutumia usafiri wa ndege wa ndani ya nchi (local flights) ni lazima uwe na kitambulisho cha uraia (NIDA) au unaweza kutumia kitambulisho chochote iwe leseni ya udereva au kitambulisho cha kazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.