Arteta:
"Hatujaona ubora wa Kai Havertz bado. Katika umri wake, ameanza na sisi, ni msimu wake wa kwanza, anajenga mahusiano hayo ...".
"Ana zaidi ya kufanya makubwa, michezo zaidi ijayo, anahitaji kuboresha uwezo wake ... na nina uhakika atajaribu kufanya hivyo".
[emoji2788]| Gabriel Jesus:
“Kuanzia sasa hadi mwisho wa msimu, kila mchezo ni fainali katika mashindano yote mawili, hivyo unapaswa kufikiria kuwa kwa sasa tunacheza fainali tisa. Kwa kweli ni ngumu.”
[emoji2788]| Thomas Tuchel kuhusu Kai Havertz
Kai alifunga moja ya mabao muhimu katika maisha yangu ya ukocha [fainali ya UCL ya Chelsea]. Yeye ni mtu mkubwa. Nimefurahiya kuwa anapata pongezi hapa anazostahili. Tunahitaji kumwangalia. Tuna wachezaji wachache ambao wanamfahamu vyema
Martine Ordegaard aliulizwa kama huenda wakawa wanamwogopa Harry Kane!
Ordegaard [emoji2424] "Tunapaswa kumheshimu Kane, Na sidhani kama mchezaji yoyote ambaye tutakuwa tunamwogopa".
Sisi tunapaswa kujiangalia sisi wenyewe na ubora wa timu yetu, Ni hayo tu".
[emoji361] Martine Ordegaard
[emoji837][emoji836]️ Kai Havertz: “Kuthibitisha haters sio sahihi ni sehemu ya mchezo. Siku zote kuna watu ambao hawakupendi au kusema vibaya juu yako."
“Niliikubali kwani huwezi kumfurahisha kila mtu. Ninajaribu kujifurahisha mwenyewe na watu ambao ni muhimu kwangu ".
[emoji2788]| Mikel Arteta: “Kuwa mkamilifu katika soka ni vigumu. Lazima uwe bora kuliko mpinzani kwanza, halafu unapokuwa na wakati lazima uwe mkatili.
"Tumekuwa thabiti na kujaribu kuwa bora zaidi kuliko wapinzani wetu hivi karibuni, na lazima tuendelee kufanya mambo mengi
Tomiyasu aanze ,ila inaonesha ataanza Kiwior maana hajacheza hizi mechi 2 zilizopita
Bayern hatari Yao ipo kwa winger zao kwenye 1v1
Japo zimekuwa butu sana ,Sane , Gnabry,Coman
Man u hiyo mechi yenu vs Arsenal hatuihesabii tutawapiga vzr tu, half time mechi itakuwa imeisha
Kwasasa tunawaza kubeba point kwa spurs maana ni derby na Huwa wanakaza sana,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.