Kwa nini Mh Nchimbi anaonyesha vita ya waziwazi kabisa hivi?! Hii si sawa kiuongozi, inaonyesha udhaifu. Kila wanapopita wanamtupia dongo Makonda. Wakati wao wanatakiwa kukinadi na kukijenga chama!
Lowassa hakufaa kuwa Rais wetu hata kwa sekunde. So kwa sisi tuliowengi, tunaona JK alikuwa ni hero wetu kusababisha mtu wenu kutokuwemo kwenye majina 5 yale. Mwisho wa siku uRais anapanga Mungu. Tunamshukuru kwa kutotuletea marehemu kuwa Rais wa nchi.
Ila JK ni mvumilivu sana sana na ana busara za hali ya juu. Kwa kweli anastahili hizo nafasi alizokwisha shika. Yaliyokuwa yanaendelea kipindi hiki, yalikuwa ni mambo ya ajabu na utovu wa nidhamu wa hali ya juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.