Mimi ninavyojua ili uwe mnajimu unahitaji kuwa na kiwango fulani cha utakatifu japo si cha liwango cha malaika. Huyu mnajimu amezaa na vimada mmoja alikuwa mtumishi wa TANCONSULT pale mikocheni walikutana wakati akiwa maskani Nairobi miaka ya 70. Ni wa kumpuuza, hastahili kula bure pale...
ni kweli ndugu zangu, hata mimi niko West Africa jioni hii ilikuwa na wenzangu tukiangalia Al Jazeera, CNN, BBC, SABC, CTVV lakini niliambulia aibu! Unajua leo pia ni uchaguzi mkuu wa Cote d Ivoire huo unatangazwa kila mara na station hizi! Tanzania ziiii umeshindwa kuuza jina la nchi. We...
Hivi hao CCM kama wangetengeneza unifomu za shule na kugawa mbwa angevalishwa? Hawajui hata namna ya kampeni. Wao wanataka watu wavae picha la chizi au mtu wanayedhani amewasababishia matatizo kifuani? Kama ingekuwa fulana yenye picha ya Slaa au Maalim Seif akapewa mshabiki wa CCM ingepokelewa...
hapana jamani, mtu mwanamume akimpa mkeo nguo si ana kudharau? Tena nguo yenye picha yake? Ndio maana huyo mwanamume akaone bora akamvalishe mbwa ili kujibu dharau. Hata akimpa mtoto wako nguo huku mwanao huyo hawezi kula vizuri, hapati elimu nzuri, si dharau hiyo pia? Hawa CCM kama wana hela...
Napafahamu sana Moshi Bar, wakuria wengiiiiii! Hawa ndio waliomtoa mbinde kule Tarime, itakuwa Dar? Watu wamefuga kuku mpaka wamechoka! Hapati kitu Kipunguni. Nina rafiki zangu pale Magereza Ukonga wanaishi Kipunguni nao wanasema wamechoka serikali ya CCM! Kazi ipo
Waaapi baba, la kuvunda halina ubani! CCM wananuka na matangazo na Tshirt zao! Watanzania wameamka, enzi za kudangnywa na Tshirt na pilau zimekwisha. Hata wapandishe watu kwenye ndege kwenda kwenye mikutano yao haitasaidia. suala sasa ni kulnda kura! hakuna kuondoka kwenye vituo, hakuna kwenda...
Jana niliopkea SMS ikitaka kujua uwezekano wa kura yangu kupigwa Zanzibar! Mimi ni mtanzania naishi West Africa! Ni tanzania bara! Hawa jamaa wanahaha!
Huyo Kapuya ni ahaji wa ajabu sana, alhaji mwenye bendi ya muziki, klabu za usiku, baa! Huyu haa mungu hamwogopi. Ananyumba pale urambo mjini karibi na benki, akiwa hapo kazi moja tu, wanawake mpaka jua lina tua! kiwa hapo anendesha majungu na masihara kuhusu mpira! Awamu ya kwanza alipokuwa...
Hawa wanajua kinachoendelea na kitakachofanyika siku (au usiku) hiyo/huo. Sheria inaruhusu watu wakae mita 100 toka kituo cha kura yeye anasema waende nyumbani! Watu wasikubali, wafuate sheria inavyosema. La sivyo maandamano nchi zima kupinga matokeo feki. Hawa wanataka watu waaundejeshi la...
Huyo mama toka akiwa mwalimu na mwananchama wa CWT alikuwa na kiherehere sana! Hebu waulize CWT wakupe michapo yake alipokuwa anahudhuria vikao na semna za vyama vya wafanyakazi. Zero brain huyo!
Huyu mama si ndio alikuwa Chief Whip pale bungeni siku wanamfungia Zitto au mmesahau? Huyu alisema Zitto anasea uongo akaungwa mkono na machizi wenzie akiwapo Mudhihir, Malechela, n.k. Anapaswa kulipia dhambi ile sasa, asipewe kura hata mmoja ili arudi akapambane na mke mwenza kule Zenji!
Mfa maji haachi kutapatapa! CCM inchungulia kaburi lakini kuingia kaburini inabidi tuisukume kwa kura zetu! Bil kuinyima kura itafufuka na tutaendelea kuendeshwa kama mapeazi ya Lushoto na kina Makamba!
Rostam, mtoto wa mhujumu uchumi aliyekimbilia Uganda wakati wa vita ya Sokoine walimfanya...
TV itawaongezea CHADEMA kura. Aliyekataa mdahalo kajitia kitanzi mwenyewe! Uliona wapi mtu anataka kuoa lakini hataki kujitokeza mbele ya wakwe? Ati anataka kwenda ukweni kwa kunyata! Hiki kituko cha mwaka!
Mzee hapa tulipofikia ni sawa na Haiti ilivyokwa wakati wa PAPA DOC! Kikundi cha mafioso...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.