Habarini za kazi na miangaiko ya maisha wana jamvi, tafadhalini naomba kujua ni sababu gani zinaweza kumfanya mtoto asiongezeke uzito? Mfano mwanangu anamiezi 4 na wiki2 lakini tangu akiwa na miezi 3 uzito wake ni 7.1 Kg hadi leo, walipo mpeleka kliniki nesi hakuwapa ushauri wa kwanini...
Makundi ya Urais wa 2015 yanaendelea kuivuruga CCM baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Singida, Mgana Msindai kuibuka na kusema atamburuta mahakamani Mwenyekiti mwenzake wa Mkoa wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma' asipomwomba radhi kwa kumchafua kwa kumwita mpuuzi.
Hata hivyo...
Ndugu madaktari wa humu jamvini naomba mnisaidie nipate kuelewa kuwa ' Kwanini mtoto wa kiume anaruhusiwa kuanza kukalishwa chini akiwa na miezi 4 wakati yule wa kike ni miezi mitatu 3?' Sababu ninini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.