Viashiria vyote sasa vinaonekana.
Mtemi Hangaya keshaja kiburi/jeuri vilevile, anajipanga kutawala milele vilevile.
Ninazidi kuamini kuwa karibu sana TUTASHANGAZWA.
Kwa Tume HURU ya vishoka akina Zito?
Hata kama wananchi wote hawatoenda kupiga kura, BADO Mtemi Hangaya atapata 'ushindi' wa kishindo.
Watu wa kutengeneza NAMBA zinazohitajika. Na wakishatangaza hakuna kuhoji tena.
Sirro ana maswala mengi ya kujibu kufafanua
1.Polisi aiyetamka kuwa Mbowe hawezi kushinda
2. Yote waliyoropoka kuhusu Mbowe
3. Ypte waliyozusha kuhusu Lema
Wapo mapandikizi wengi kwenye mkutano huo. Hao weshapanga cha kufanya na hata nukuu zao zimejaa hewani. Kwa nini mtu ukubali huku unajiona, kwenda kuchezeshwa mchiriku wao usio na tija yoyote kwa Taifa hili.
Safi kabisa,
ila ningepewa fursa ya kuiandika tena hiyo sentensi, ningeandika hivi;
Katika USHETANI wao, Kamanda Kingai ametufundisha kuwa kuna kitu kinaitwa PGO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.