Nilisikitika sana kusikia Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Dr Edward hosea akilamimika hasa kuhusu serikali kumfunga mikono, na kuisingizia ofisi yetu tukufu ya DPP kuwa inakalia majalada ya kesi ya ofisi yake hivyo kumkwamisha. mimi nikiwa mtumishi wa ofisi ya DPP ambaye nimefanya kazi hapa kwa muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.