Pokello anachukiwa na almost all housemates wa ruby....sioni kisasi coz its not like pokello alimfanyia hivyo then feza akalipiza...betty was a different case...alilipiza kabisa...
Mmmmh bana...its black and white coz usiku hawawezi kuacha taa on...so kwa housemates ni giza ila kwa watazamaji ndo wameweka hivyo ili tuone what's goin on
Bakhresa....mchango wake katia jamii ni mkubwa sana...aliona kuwapa vijana pesa haitawasaidia na siku mbili watalia njaa tena...akaamua awape baiskeli wauze ice cream ambayo ni ajira nzuri....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.