Search results

  1. M

    Nitafungua kesi dhidi ya Jeshi la Polisi

    Kwenye kesi itabidi uthibitishe nani katekwa?Alitekwaje tekwaje?Nani aliyetekwa!Mwisho Mahakama inaweza kukubaliana na wewe kwamba utekaji haurusiwi kisheria na hautamkwi na sheria yoyote na ni kosa.Ikaishia hapo na kukuacha kwenye “vacuum” kubwa.Na matukio unayoita ya Utekaji (badala ya...
  2. M

    Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

    Nadhani wewe ndo unanipa tip nzuri kuliko wote.Ushahidi kwamba walikwenda Morogoro kabla ya kwenda Moshi nani katoa?(Nataka kujua tu,mi si mfuatiliaji mzuri wa hii kesi)
  3. M

    Je, Rais Samia anayo haki na misingi ya kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) kwa mambo yasiyo ya Muungano?

    Ukisoma kwenye list yako(Namba.6) utaona Uraia.Kwamba uraia ni jambo la Muungano.Hivyo,anayeongoza Tanzania ni Mtanzania ambayo ni moja ya sifa muhimu sana ya kuongoza nchi.
  4. M

    Macho yangu yananidanganya?

    Nadhani ulikuwa umelenga kumtukana Lissu zaidi ya kuzungumzia mema ya Magufuli.Sidhani kama kuna uwiano sawa uliotakiwa kuonyeshwa kwa kila mtu kwa namna gani anavyomchukulia Magufuli.Hili halikuwa shindano bali ni msiba.Hukumuona Mnyika kwenye mazishi?Kaenda kufanya nini pale?Mbona Tundu Lissu...
  5. M

    Macho yangu yananidanganya?

    Mi nadhani tuendelee kuamini mila na desturi zetu hasa mtu anapofariki ndo zinazotufanya hivyo.Ukitaka kila mmoja approve kwa namna anavyompenda au anavyomchukia nadhani utakuwa si ustaarabu na kinyume cha mila zetu.Hata hivyo “wanaomtuchukia “kama wapo hawajapewa nafasi hivyo ya kuonyesha namna...
  6. M

    Kamati kuu CHADEMA mnakosea sana

    Kinachofanyika sasa ni kuwapa fursa ya rufaa kwa mujibu wa katiba yao.Sio dhalula tena
  7. M

    Kamati kuu CHADEMA mnakosea sana

    Walishafanya maamuzi na si wanachama tena.Kwa hiyo si suala la dhalula tena.
  8. M

    Kamati kuu CHADEMA mnakosea sana

    Ratiba maalumu
  9. M

    Kamati kuu CHADEMA mnakosea sana

    Kiutaratibu Baraza Kuu hukaa mara 4 kwa mwaka.Lina ratiba maamuzi.Otherwise,kutokee suala la dhalula kubwa ambalo haliwezi kuamuliwa na Kamati Kuu.Ni masuala machache sana ambayo Kamati Kuu haiwezi kuamua kwa niaba ya Baraza kuu
  10. M

    Kamati kuu CHADEMA mnakosea sana

    Kuitisha Baraza kuu si jambo rahisi kama unavyofikiri.Linahitaji rasilimali pesa na maandalizi ya kutosha.Pia haliwezi kuitishwa kwa ajenda moja ya kina Mdee tu.Tasfiri ya kilichofanyika kamati kuu,maana ya kamati kuu ilikasimu madaraka yake toka Baraza Kuu.Hiyo ina maana imefanya maamuzi kwa...
  11. M

    Kisheria, Mdee na wenzake bado ni wabunge halali kwa tiketi ya CHADEMA

    Nadhani kama hujui jambo ni vyema kuuliza kwanza.Haki ya kukata rufaa haiwezi kuondoa ukweli kwamba maamuzi ya vikao halali yaliahafanyika.Kamati kuu ina mamlaka ya kufuta uanachama wa mwanachama husika kwa mujibu wa Taratibu za Chama.Maamuzi yakishafanyika wahusika hujulishwa kwa barua juu ya...
  12. M

    Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

    Nadhani spika anasubiri barua rasmi kutoka kwa KM kwa kumfahamisha juu ya kupoteza uanachama kwa wanachama hao.Lakini hilo pia halimzuii Ndugai kutoa maoni yake binafsi kwa maana yeye ni mwanachama wa CCM.Nadhani CHADEMA waendelee na kufuata utaratibu.
  13. M

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alikuja CHADEMA ikiwa na wabunge zaidi ya 50, anaondoka, ikiwa na Mbunge 1

    Kuna nafasi ya vyama vya siasa ya upinzani kwenye maendeleo ya nchi.Kubeza kama ishara ya kukebehi haiondoi hatari iliyopo mbele kwa mchango wa vyama vya upinzani.Kilichotokea mwaka huu kila mtu anakijua.Ni wakati sasa vyama vya upinzani kujipanga kweli kweli ili kuwa imara zaidi.Ni kipindi cha...
  14. M

    Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

    Lissu atashinda uchaguzi bila wasiwasi kabisa pamoja na figisu figisu hizi.Tena anashinda kwa kimbunga.
  15. M

    Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

    We unaonaje?Sema ukweli ndani ya nafsi yako kabisa
  16. M

    Uchaguzi 2020 Mbowe umekumbwa na nini?

    Unaweza pia kupanua wigo wa mawazo yako kwamba pengine kazi anayofanya Tundu Lissu ni kubwa mno hivyo mgombea huyo anajiuza mwenyewe.Mbowe pengine ana machache sana ya kusema,mengi ana cover Lissu mwenyewe.Pengine angalia mikutano yote ambayo Mbowe yupo,amekuwa anasikiliza zaidi kuliko yeye...
  17. M

    Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

    Kumbe ni suala la imani na si uhasilia.Naona sentensi yako ya mwisho umeiweka vizuri sana.Una imani,ila huna UHAKIKA.Imani hujengwa,hivyo umejenga IMANI na Mgombea wako kama vile watu wengine walivyojenga IMANI na mgombea wao(ambaye unampiga vijembe sasa).
  18. M

    CHADEMA, kutenda kosa siyo kosa, ila kosa ni kurudia kosa

    Kwa taarifa tu ni kwamba kabla ya kumchukua Lowasa ilifanya utafiti wa kigezo cha Mgombea mmoja mmoja na namna anavyokubalika yeye binafsi bila ya chama halafu kukaja na utafiti wa kukubalika kwa chama(CHADEMA) na endapo mgombea huyo anayrkubalika zaidi akichukuliwa na CHADEMA kura...
  19. M

    Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

    Nani anajua hilo sasa? Hisia anakuwa nazo yule ambaye hajiamini.
Back
Top Bottom