c shangai hata BWANA YESU alizomewa na kuthihaikiwa lakini hayo yote ili neno litimie na sasa ndie tunae mwadu ......mtamthiaki Lowasa na kumnenea uongo ila cku ya cku ndie atakuwa raic wetu.
kitu ambacho nimeona slaa laongea uongo wa thairi nipale amesema eti mkutano wa kuzindua kampeni wa chadema watu waliletwa kwa mabac jamani hii nikweli au huyu mtu katumwa na ccm au ni vp
mi nilisema tokea mwanzo kabisa kwama mkofuli hakuwa na tatizo lolote hadi kamaliza kujitambulisha hakuna polic alijigusa ila upinzani wameanza cku moja tu jamani taayari wamesha toa amri huo usalama unetokea wapi wakati wa makofuli huo usalama haukuitahika mi na sema kama kunakitu ambacho ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.