Jamani nina mdogo wangu kachaguliwa weruweru kwa anaeifahamu vizuri anisaidie contact number iliwawasiliane amuelekeze mambo kadhaa musaada jamani kuanzia sare na kilaki2 ahsanteni....
We kama umekosa thread ya kuweka humu bola upige kimya kwani chadema na elimu wapi na wapi?ebu toa kampeni zako humu kajaribu forum ya siasa n then usidhani wote walio maliza 4m 4 ni waliofeli co badilisha kauliyako huwezi kumuita mwenzio kichwamaji bhana inaboa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.