TTCL wanatoa huduma zilizo cheap, kwa mfano ttclbb standard ni tsh 30,000/= for 2Gb per month. Lakini hakuna advertisement yoyote wanayofanya, hata kuwapigia simu wateja wao wa kawaida kuwapa taarifa za mabadiliko ya bei imewashinda. miye naona kuna kuvivu fulani, au wanajihujumu wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.