Hoja yako ni nini hapa?
Kama mngekuwa na Ilani nzuri kama unavyotaka kuaminisha wanaJF, mbona haikuwapeleka Ikulu?
By the way, Mwaka 2010 CHADEMA ilidai itahakikisha serikali haitumii magari ya kifahari(Mashangingi). Mbowe aliita waandishi wa habari ili kuwaeleza anarudisha gari serikalini ili...
Hapana, hii ni spidi ya 120 km/h ya serikali ya Lowassa mabadiliko, mabadiliko Lowassa, wakati huo huo ukizingusha mikono!
Kwa kukusaidia kidogo, Sehemu ya 11-13 ya Ilani ya CCM inasema,
Vita dhidi ya Rushwa
11. Jitihada za kuinua uchumi na kuongeza huduma za jamii hazitaleta manufaa kwa...
Watu wa aina yako mnafurahisha kama siyo kusikitisha!
Kama Ilani yenu ingekuwa ni nzuri kwa nini haikuwapeleka Ikulu?
Unafiki wa kutaka kujinasibisha na Serikali ya CCM wakati wananchi walitupilia mbali unafiki na ulaghai wanu ni kupoteza muda.
Unaweza kupitia video za kampeni za CCM kama...
Mahatma Gandhi katika kitabu chake kiitwacho, The Story of My Experiments With Truth akiwahi kuandika, ''The seeker after truth should be humbler than the dust. The world crushes the dust under its feet, but the seeker after truth should so humble himself that even the dust could crush him. Only...
Mbowe ni mfanyabiasha wa kisiasa.
Amefanya biashara yake kwa sasa anashangilia!
Baada ya uchaguzi ataenda holiday kwenye moja ya nyumba zake nje ya nchi!
He's loaded!
Rais Kikwete:
Magufuli anatosha. Vigezo vyote anavyo. Hana makandokando.
Magufuli ni mtu anayependa watu. Mcheshi, habagui watanzania, Mtu mwenye huruma.
Magufuli hana tatizo la afya kwa sababu kwenye kuwajadili wagombea, afya ni moja ya kigezo cha kuteuliwa ndani ya chama.
Magufuli hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.