Kifo cha CCM ndiyo kimeaanza, upinzani sasa wanakalia viti Arusha Mjini, Arumeru Mashariki, Hai, Moshi Mjini na Vunjo kwa Mweshimiwa Mrema.... poleni CCM
Hongera mzee Mtei kwa kuandika , viongozi wengine waige mfano huu wa kutueleza yaliyopita ambayo ni vigumu kuyapata kwa vizazi vijavyo... alikuwa na msimamo baada ya kutofautiana na JK kwenye masuala ya uchumi na kujiuzulu kwenye serikali miaka hiyo ya nyuma, aliyomshauri JK baadaye walikuja...
Tusubiri confirmation but all in all the guy failed to turnaround the company, how could you have more than 200 employees with only about 4 small planes?
Jamaa hawa wa NDC muziki mzito kwanza nyumba walizomuuzia fisadi mwenzao Johnson Lukaza pale Namanga (zimezungushiwa mabati karibu na kituo cha daladala) kwa muda mrefu hizi ziliuzwa kwa karibu $ 2.5 million na NDC management ilikula hongo ya $500,000 wakampatia Lukaza hizo nyumba.
Pili jengo...
Pia kuna fununu kuwa huyu mkuu wa mkoa Shekifu ana mpango wa kuuza na kukodisha mashamba ya barley and wheat huko Manyara kwa wawekezaji feki.
Mashamba haya ya barley/wheat yanaweza kuendelezwa na kutimiza matumizi ya TBL wakipata wawekezaji kwa njia sahihi siyo za maamuzi yake tuu. TBL sasa...
Director NDC - I.J.A Nsemwa amwaga manyanga jana, hivi amelazimishwa ku-resign? au uchunguzi umekamilika na kuamua hivyo au ni mbinu yake ya kuficha mambo? Si asubiri matokeo ya uchunguzi na maamuzi ya lipi lifanyike kwa waliohusika.
Adhabu kali lazima ichukuliwe kwa yeyote atakayekuwa...
Serikali ichukue hatua mara moja kwa Simbakalia na team yake ya management aliyoweka wakati huo Mwakibolwa, Nsemwa - ana mali nyingi sana huyu wakati shirika halina kitu, huyu alitokea BOT na naona ndiyo alichora huu mpango wa kupeleka fedha huko Mauritius.
NDC kila leo serikali ina inject...
Hawa jamaa wa NDC wachunguzwe pia kwa kujiuzia nyumba za shirika kwa bei ndogo na kwa upendeleo. MD aliyepita afikishwe mahakamani kwa kuficha huu wizi wa mali za umma wa walipa kodi wa nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.