Taarifa ya kamati ya Pinda kuhusu mtihani wa kidato cha nne,ilitakiwa kusomwa na mwenyekiti wa tume au na Lukuvi,kwa sababu bila kukosea mwenyekiti wa tume hiyo ni Profesa Sifuni Mchome. Naomba kuelewesha wana jamvi
Wana Jf hamjambo? Asanteni kwa ukaribisho.
Jaman ile tume ya kuchunguza sababu za wanafunzi kufeli mwaka 2010 majibu yake yalifanyiwa kazi au ilikuwa usanii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.