Sir R nafikiri atakuwa na mtoto mkubwa maana pale Itende alimpa mimba binti mmoja wa Kinyakyusa kama sikosei anaitwa Unosye.(kumbukumbu zangu zinanipeleka huko)
hivi wana jamvi naomba kujuzwa.ni vigezo gani vinavyotumika kuchagua wenyeviti wa bunge?huyu wa leo naona kama sanamu tu,sijamuelewa wala hata dalili ndogo tu za uongozi naona amezikosa!
Ni muda tu utatuambia katika utendaji wa speaker wetu mpya. Mara nyingi,mkutano wa kwanza utatupa mwanga hasaaa kuhusu madame. Anatakiwa asome alama za nyakati na atekeleze nini Watanzania wanataka na si watu fulani wanataka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.