Kuna watu bwana mnachekesha. Hivi Huyu Yericko si ndo aliyepigwa mkwara na Dr. Slaa dhidi ya kutumia jina lake? Eti Dr. Kuja na mkakati wa ushindi. Hujui siasa kijana. Unaangalia siasa kama upepo na siyo sustainability. Eti umefanya utafiti wakati unashinda kwenye keyboard.hiyo miez minane...
. Acheni umburula mboma Mimi mkatoliki lakini nakubaliana na mabadiliko? Niliona thread hapa asubuhi ikihusisha mkakati wa KKT na watu wa Kaskazini kuratibu haya nikapuuza kumbe kuna kaukweli Fulani? Achen udini. Hatukuzoea CDM kuwa na haya lakini mhhh
Hivi mnamsafisha Lowasa kwa kuwa Magufuli ni fisadi? Huku site titarajia baada ya ccm kuteua fisadi aliyeuza nyumba zetu vyama tulivyoviamini vingetuletea MTU msafi na asiye na chembe ya tuhuma na huu ndiyo msingi wa Polepole. Mkiwa na mhemko hamuwezi kumwelewa kwa kuwa mnapenda kisikia mazuri...
Tatizo lako unataka alinganishe ya CCM na CDM. CCM ni chama kilichochokwa tayari hivyo watanzania wengi tulitarajia mapya kutoka upinzani lakini nao wameenda njia ile ile. Lowasa hawi msafi kwa Magufuli kuwa fisadi. Nashauri Mbowe abadili gia angani tena. Yaan tegemeo tulilotegemea limetuangusha pia
Acha upuuzi wewe Gsana. Maaaskofu wangapi wamehamishwa vituo? Acheni kumwingiza Pengo kwenye wendawazimu wenu? Hivi mlipomkaribisha Lowasa Pengo alieashauri? Yaani nyie MTU asipokuwa nanyi mnamuona hawafai? Mbona enzi zile Pengo alipoidema serikali ya JK mlikuwa mnamsifia? Jifunze kupokea mawazo...
. Utakuwa una wazimu wewe Magufuli awe genius? Hata waliosoma naye katoke seminary hawajawahi kumutaja kama genius. Labda demu wake Sundi ndo kaandika haya. Halafu unaandika kwa mihemko juu ya wapinzani wake. Wanasayansi na magenius wako busy kufanya ugunduzi huko wala hutowasikia kwenye siasa...
inashindwa kuona Kosa la Mbowe unaona kosa la MTU anayeishii hadhi na siha yake njema. Poor Salary slip unapelekwa kama upepo. Kama kila mwanachama ana haki kwa nin mliruhusu mgombea mmoja tu kuchukua fomu bila kupigwa? Wewe ndo unamsujudia Mbowe na ndo maana husikii wala huoni? Hata kwenye vita...
. Acha kupiga lamli hapa. Dr. Slaa ashaweka msimamo tokea zamani hats kabla ya ukawa kwa kusema hatokuja kukaa meza moja na mafisadi. Hivi huyo MTU wenu katubu lini? Mnajifanya kujua biblia mnasahau simulizi la Mathayo mtoza ushuru na mdhumaji? Kama katubu kwa mini asigawe na na kurudisha...
La msingi mwambieni Mbowe abadili tena via hewani kabla mda haujawaweka kando. Naangalia majibishano ya Lissu na Kitila, Kitilia anasifia ujio was Lowasa kama utaongeza upinzani unajiuliza na Huyu? Leo ZZK ashaitumia kama nyundo akihutubia watu wwa Gungu Kigoma na Mpanda. Hamugundui tu. Ama...
Nyie vijana acheni kujificha kivulini kwenu. Mimi ni ukawa damu lakini sikukubaliana na upuuzi uliofanywa na viongozi wa ukawa wakiongozwa na Mbowe. Mimi nilichukua dhamana ya kuwaanfikia Lisu , Dr. Slaa, Heche na Mnyika lakini wote hawakunijibu nikiwauliza kama wako serious na wanaendelea na...
Simamia dhamira yako wew kijana. Makubaliano hayakuwa MTU was nje ya ukawa agombee kasome MoU iliyosainiwa pale jangwani? Wewe ukawa kweli au wakuja na mamvi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.