Watu wangu wa nguvu!! Naomba leo niulize hawa watoto wa Rais wa Marikani ( Barrack Obama) wanasoma saa ngapi maana kila siku wao wapo kwenye ziara na baba yao na je, watapataje ma-boy friend kama hawajichanganyi na washashi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.