Pole sana kwa tatizo la vipele. Jaribu kutumia maji ya moto sana kila baada ya kunyoa kujikanda kwenye hizo sehemu. Nilipata huo ushauri toka kwa rafiki yangu nikaujaribu kwa mtu ukakubali.
Hata kama unapata hilo tatizo ukinyoa ndevu, jaribu kutumia maji ya moto sana kila unaponyoa unajikanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.