Mbunge wa CHADEMA aliyejitambulisha leo jioni Bungeni kuwa ni "Mke wa Kafulila" amepewa siku tatu alithibitishie Bunge kuwa Serikali ilipoteza sh. Bilioni 238 kwa kununua mabehewa ya mizigo mabovu, baada ya Waziri wa Katiba na Sheria Dk. Harrison Mwakyembe kumbana athibitishe madai yake kwani...
Mahakama Kuu Mbeya imemkubalia mgombea ubunge wa Kyela aliyeshindwa Abraham Mwanyamaki alipe sh.mil.3 tu badala ya sh.mil.15 kama dhamana kwenye kesi ya Uchaguzi ambayo amemfungua kupinga matokeo ya Uchaguzi huo.
Dk.Mwakyembe ambaye alikuwemo mahakamani wakati Jaji akisoma uamuzi huo...
Wewe kweli darasa la saba hujui tofauti ya mamlaka ya Waziri wa Uchukuzi na Waziri wa Fedha. Ulitegemea Waziri wa Uchukuzi aisafishe TRA? Ana mamlaka nayo? Spurious logic!
Kubenea yupi, yule bendeara ya Mengi, sasa bendera ya Lowassa? Naapa, hata kama sina ushahidi kuwa kwenye taarifa hii Kubenea kavuta kutoka kuwa bilionea EL.Lengo linaweza kuwa kumdhoofisha Mwakyembe asimshughulikie EL kuhusu Richmond.
Hivi Kyela kuna wasomi kweli? Mbunge atafungaje redio? Ama kweli Mbeya ni ya wambea watupu! Singida vilevile tumefungiwa redio pamoja na Kyela. Lakini porojo za kumtafuta mchawi ni Kyela tu! Pole Mwakyembe kwa kuongoza wilaya ya aina hiyo!
masopakyindi
Kwa kweli sijaona hoja yako ndugu,
umetumia kigezo gani kumlinganisha mhe. Mwakyembe na mhe. Mwandosya
kwasababu kama ni political impact, mwakyembe yupo juu(nikimaanisha,he brought more change)
kama ni elimu, bado mwakyembe yupo juu
kama ni leadership skills, both ni viongozi but...
hivi watanzania mnataka mpaka aje mtu waaina gani, ili uweze kujua anafaa.
yani inakua kama hatuna elimu, hivi ni waziri gani au mwanasiasa gani alieleta impact kubwa kwenye serikali hii kama mheshimiwa mwakyembe. kwanini mnakua wagumu kuelewa nguvu kazi alioiweka huyu mzee kutetea maslai ya...
Duh! Usafi wa Magufuli uko kwenye nyumba za Serikali alizouza? Na usafi wa Sitta uko katika kung'ang'ania kukaa kwenye nyumba ghali ya fahari ambayo Serikali inalipia kwa zaidi ya sh. Milioni 110 kwa mwaka?
hoja za wapambe wa lowassa wanaodai damu ya mwakyembe kwa udi na uvumba zinaonekana! Hapa wanalazimisha richmond no.2 itokee. Kwa jinsi tunavyomjua mwakyembe, mtahangaika sana bila mafanikio. Bwana freeland hapo anasubiri mshiko wa mamvi, atamg'ang'ania mwakyembe wee bila hoja!
MSHERWAMPAMBA
I too know that CCM has been a devastating look on society terms, but make no mistake , Tanzania is even more scared of change.
CCM will be dethroned but not quite yet. The oppositional parties are not intellectually fit to comprehend the easy logic that is multiparty system...
Lowwasa anaweza Akawa chochote but not the president . tukimpa presidency , ni mlango wa kufanya even Bigger Corruption deals .
Leaders cope and evolve, this time atafanya Kwa umakini zaidi.
Kwa akili tu Ya kuzaliwa, there is no way such a huge influx of cash Is used without the government...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.