nadhani wanandoa wengi sio waaminifu.Na sio wanawake tu wanatembea nje ya ndoa naamini wanaume karibu 80%ndio wabaya kabisa na ndio wanasababisha migongano na wivu kwa wanawake wengi na kutokuaminiana na migogoro mingi yenye ugomvi mkubwa kwa ndoa nyingi kukosa uaminifu.Wanaume wengi wana nyumba...
Pole sana,kaka yangu.
Japo mimi ninamwelekeo mwingine kabisa wa ushauri.Na labda kwa hali ya kawaida unapaswa kutofautisha kati ya Mke ,mpenzi na Mchumba.Mpenzi na Mchumba inaruhusiwa kuachana katika aina mojawapo ya imani japo kuna tofauti ya imani.Lakini mke ukishaoana naye huruhusiwi kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.