Dr Magufuli songa mbele, upande wako tuko wengi zaidi
POINT OF CORRECTION so kweli labda Bara lwenye mazezeta wuni.Zanzibar nchi mshirika na Tanganyika nawa walionda Jamhuri ya Muungano hawako upande wake. Takwimu za NEC za uchaguzi wa 2015 zinaonyesha luwa chaguo lao ni Lowassa,
Kiswahili kibovu cha kanda ya ziwa au taarifa potofu, Ilipaswa ielezwe hivi
Rais Magufuli amemthibitisha Prof. Ibrahim Hamis Juma kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania
Rais tayari alishamteua Prof. Ibrahim Hamis Juma huko ku kaimu nafasi ya Jaji Mkuu . Kumbe le;e;e zasu zimesaidia. Mungu akuafu haraka.
Nakubaliana na mawazo yako finyu na ya wachache khusu upinzani hata kufikia kuona kuwa njia pekee ya kuwaziba midomo ni " style" hii. Hivi wapinzani wanaruhusiwa kufanya siasa mpaka kufikia kusema kuwa siasa zao zinaudhi?.
Siasa kwa vyama upinzani Tanzania imepigwa marufuku mpaka 2020...
Unataka kusema hili tukio la Dodoma limwandaliwa kwa Polisi kulipiza kisasi kwa mauaji ya Kibiti?
Wacha ujinga na unafiki usiokuwa na mithali wala maana.Hivi kule Kibiti walikufa raia ni watatu tu. Wale makundi waliouwawa na polisi ambao wote wanakufa wakikimbizwa hosptali walikuwa ngombe...
Kwa hivyo unataka kueleza kuwa kosa hilo la kuchaguliwa kwa Lissu kuwa Rais wa TLS kwa kura nyingi tena na wasomi,adhabu yake ni kifo kwa upigwa risasi hadharani mchana kweupe? Shame on you!!!!!
Sio wakubwa kuwa muwazi. Hawa ndio viongozi wa CCM.USIJITOE KIMASOMASO.Nchi inaangamizwa na CCM naiataburuzwa na mkondo huo na dawa pekee kukukiondoa madarakani kwa sanduku la kura na mahakama.
POLEPOLE: Ninakuheshimu lakini umenivunja moyo yakuamini kuwa tokea ulipopchikwa cheo ndani ya CCM akili zako za kupima na kutafakari zinasinyaa kwa mwendo kasi.
Ni sawa a kumuulizamtu kuwa eti Pemba kuna mkarafuu? POLEPOLE unanikumbusha ilipofunguliwa Hoteli ya Bwawani Zanzibar , mtangazaji...
1.Watu wenye akili watashangazwa na kushangaa kwa kodazwa na ukweli kuwa Tanzania kujifunza demokrasia toka nchi jirani ya Kenya sio tu baada ya mahakama kuu kufuta matokeo ya uchaguzi wa Rais na kutangaza kurudiwa kwa uchaguz lakini kwa kila kitu. Pengine hujitambui tu Tanganyika ilipata...
Pamoja na kuwa kichekesho lakini Inatia huruma na kuhuzunisha lakini haya yote amejitakia yeye mwenyewe kwa ukaidi wake na wache yamfike na aitafute mnyazishaji wa kilio, chake.
Kila mtu akili timamu na sio za kushikiwa anajua kuwa kosa lake kuu ni kushinda uchaguzi mkuu 2015 na kukataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.