Search results

  1. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Chief itabidi uandike UZI mzuri wa kuwa motivate vijana . Wape mbinu mbalimbali na ujuzi wa namna ya kutambua potential waliyonayo. Utawakomboa wengi sana . [emoji120][emoji120][emoji120]
  3. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Mkuu utafika mbali sana .kama bado hauja graduate na umeshaanza mapambano kuja wana wame graduate 2013 mpka leo wametulia wanasikilizia Serikali. Big up sana.
  4. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Mkuu hebu tuelezee kidogo.
  5. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Sure !! But atleast umeonesha umeonesha upambanaji. Tofauti na Graduate anayesubiria Ajira Portal. Naamini kuna wadau kupitia huu uzi wanaweza kutoa nafasi mbalimbali au wakakushika mkono. Naamini baada yq miaka kadhaa tutakuja kutoa ushuhuda
  6. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Sasa hapo ndio fursa mkuu! Unakwenda kwa mkuu wa kitengo ! Unampa athari za kutumia outdated software lakini unampa wayforwad sikumoja moja unawapa training ya computer unafanya maintanance kidogo watakuamini tu Mimi nilikuwa mjanja sana fursa kama hizi nilikuwa nakomesha
  7. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Thats Great mkuu! Natamani watu wote waje wasome hii comment kuna jambo hapa mhimu sana watajifunza
  8. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Sure hizi ni fursa . Ndio maana licha ya kusoma IT lakini kuna mambo ya Entrepreneurship na issues za Bussiness
  9. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Changamoto kazini
  10. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    I think vijana wawili au watatu wa IT wakijiunga na kijana mmoja wa bussiness aliye major kwenye marketing wanaweza kuunda kampuni ndogo ambayo kazi yake itakuwa ku solve IT issues kwenye ofisi mbalimbali. Kwa kuanza IT you dont need much capital cha zaidi ni kuwa na skills tu. Nchi yetu hii IT...
  11. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Halmashauri nyingi ziko nyuma sana kwenye IT bado wanatumia mifumo ya kizamani. Born before computer. Unaweza kuta computer ipo kwa Ps wa boss tu.
  12. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Pole sana kaka ! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
  13. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    The same to me ! Najua changamoto ya hizi course bila kujitolea walau mwaka mmoja hutoboi
  14. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Mkuu ni shida sana .Tena hii issue ya IT & ICT inahitaji ifunguliwe UZI humu jukwani maana vijana wa Ict naona kama ndio wahanga wa kubwa sana. Kuna muda nahisi kama mitaala yao inashida mahali.
  15. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Najua ni changamoto kubwa !lakkni kukaa home tu haisaidii . Njia nzuri ni kutafuta sehemu unayoweza kuonesha ujuzi wako. Faida ya kujitolea ni kwamba utapata new connections ,networking na hapo unaweza pata mianya mingine ya kutoboa. Pia unaweza chagua sehemu ya kijtolea ambayo unaweza kuwa...
  16. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Hapana lengo ni kuwajulisha Graduates kuwa unapokosa nafasi ya ajira kuna namna nyingine unaweza ku generate income kwa njia tofauti. Tupo mtaani vijana wamekata tamaa kabisa . Yaani wanaamini katika ajira ya serikali .
  17. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Walipoteza nafasi kubwa sana. Wangepata fursa ya kujifunza kazi na kuongeza ujuzi! Na hii mentality ipo kwa sisi waswahili
  18. mr.kayembele

    Wewe ni Graduate? Pitia hapa

    Kuna njia nyingi ambazo kijana aliyemaliza chuo anaweza kuongeza kipato chake. Hapa chini nimeorodhesha baadhi ya njia hizo: Kuanzisha biashara yako: Unaweza kufikiria kuanzisha biashara yako ya mtandaoni au ya nje ya mtandao. Kujenga biashara inayotumia ujuzi wako wa kielimu au hata ubunifu...
Back
Top Bottom