Muhimu kujiuliza, mtu anayekusanya fedha toka anakojua, na kuwanunua watu wa chama chake mithiri ya mchuuzi wa mifugo afanyavyo kwa kununua mifugo wengi kwa bei nafuu ili badae akawauze kwa faida, anafaa kuaminiwa na watu maskini kama sisi tunaohitaji uadilifu wa serikali ili tuzidi kudumu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.