Napata wakati mgumu kushiriki JF kama mitazamo na mambo yenyewe ni haya ya umaarufu na majungu....
Tubadilike...kuna mambo mengi sana ya kujadili na kufikia maamuzi...si kujadili tuu...
Tunachonga sana!!!!!!!! If i may say...
Kinachonikwaza sio mavumbi yatarudije ardhini, kumbuka bin adam ni mavumbi na mavumbini atarejea. Iwe atachomwa, atazikwa...atarejea mavumbini. Kinikwazacho Askari wa Amani ni hiki:- Inakuwaje watu nyeti, tena wanaohusika au kuhusishwa na issue nyeti za nchi hii, hupoteza maisha katika wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.