Waungwana umeme na daraja la Kilombero vitakamilika lini? kwani wakati wa kampeni tuliletewa mpaka mameneja wa Tanesco na kutudanganya kuwa wataleta umeme, kujenga barabara ya lami na Daraja la Kilombero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.