[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] inategemea na ubora wenyewe kwenye nini mamaa, lakini nimeona mchangiaji mmoja wa mada kasema wanakuwaga wavivu+kutokubebeka kirahisi hapo ntashawishika kuja upande wako mamaa. Na zile mada zako zile za namna ya kucare hakika ndo unanimaliza kabisaa una...
[emoji2] [emoji2] bila shaka mamaa nawe pia usisite kunitag ukiwa wa kwanza kuona post. Lakini kama nishaanza kuona upande wangu baada ya kuona upo upande huo, ngoja niweke subira tupate mchambuzi kwanza. Good Morning Madame Arabian queen
Ohoòoo! Mie nimekaa kimyaaa nasubiri ije ya vimbau mbau ili nilinganishe then nifanye maamuzi. Kumbe upo kundi la pili, hamu imeongezeka Arabian queen.
Upo sahihi Arabian queen , atleast umeonesha njia za kufanya upate muda wa kukaa na Mumeo ndani hasa wikendi baada ya mihangaiko ya wiki nzima. Hakika kwa njia hiyo hata mimi ungeniteka tu siku nzima, na jioni ningekutoa out.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.